Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akimkabidhi kadi ya Bima ya Afya Bw. Said Akili kutoka AMCOS ya Nyundo B iliyopo Halmashauri ya Nanyamba kijiji cha Nyundo,...
Jumatano, 27 Februari 2019
Jumanne, 26 Februari 2019

WATUMISHI SEKTA YA AFYA WAASWA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akikagua Kadi inayoonesha Idadi ya Dawa katika Chumba cha dawa, wakati akiwa katika ziara yake ya kukagua hali ya utoaji huduma...
Jumatatu, 25 Februari 2019

TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI 50 ZENYE MIFUMO IMARA YA UDHIBITI UBORA BIDHAA ZA VYAKULA NA DAWA
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akisema jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa wataalam wa udhibiti ubora wa Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA na...
Jumamosi, 23 Februari 2019
HOSPITALI ZOTE NCHINI ZATAKIWA KUWA NA ICU YA WATOTO WACHANGA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akimtazama mtoto njiti, aliyepakatwa na mamaye, wakati alipofanya ziara ya kukagua hali ya utoaji huduma za Afya katika Hospitali teule ya Rufaa ya Mkoa...
TAARIFA WAKATI WA UPOKEAJI WA MAJOKOFU YA KUTUNZIA CHANJO NA VISHIKWAMBI KWA AJILI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA CHANJO KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA HAPA NCHINI
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu akitoa mfano kupitia kadi ya Kliniki, namna gani Mfumo utafanyakazi kwa kutumia kishikwambi, wakati akipokea majokofu ya kutunzia chanjo na vishikwambi (tablets) kwaajili ya...