Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumamosi, 11 Novemba 2017

MATEMBEZI YA SIKU YA UGONJWA WA KISUKARI DUNIANI.

Watumishi wa Wizara ya Afya wakiongozwa na Mkurugenzi wa kituo cha Lishe na Chakula Wizara ya Afya  Dkt. Vicent Assey (aliyevaa tisheti ya bluu) mapema leo katika matembezi ya Siku ya Kisukari Duniani yaliyoanza chuo cha Muhimbili mpaka Viwanja vya Mnazi mmoja.






Watumishi  na Wadau mbali mbali wa masuala ya Afya wakinyoosha viungo baada ya matembezi yaliyo anzia Chuo cha Muhimbili na kukomea viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam katika maazimisho ya siku ya Kisukari Duniani huku kauli mbiu ikiwa  ni Wanawake na Kisukari.





Kaimu Mkurugenzi wa Elimu ya Afya kwa Umma (HEU) Said Makora (wakushoto) akimsikiliza  Mkurugenzi msaidizi wa NCD Wizara ya Afya Dkt. Sara Maongezi wakati wa maazimisho ya siku ya Kisukari Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.





Mkurugenzi wa kituo cha Lishe na Chakula Wizara ya Afya  Dkt. Vicent Assey akitoa neon mbele ya wadau wa Afya na Ugonjwa wa Kisukari (Hawapo kwenye picha) wakati wa maazimisho ya siku ya Kisukari Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.





Mkurugenzi wa Kinga  Dkt. Neema Rusibamayira ambae alimwakilisha mgeni rasmi Mh. Ummy Mwalimu akisoma taarifa mbele ya wadau wa Afya na Kisukari nchini (hawapo kwenye picha) katika  maazimisho ya Siku ya Kisukari Duniani ambayo kikomo chake ni Novemba 14. Wakwanza  kushoto ni Dkt Waane na wa mwisho ni Mkurugenzi msaidizi wa NCD Wizara ya Afya Dkt. Sara Maongezi.



Picha ya pamoja ikiongozwa na Mkurugenzi wa Kinga  Dkt. Neema Rusibamayira katika  maazimisho ya Siku ya Kisukari Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.







Wadau wa Afya na Kisukari katika matembezi ya Siku ya ugonjwa wa Kisukari Duniani yaliyoanzia Chuo cha Muhimbili na kukomea katika viwanjwa vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam mapema leo.

0 on: "MATEMBEZI YA SIKU YA UGONJWA WA KISUKARI DUNIANI."