HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018 7. Idadi ya Wananchi waliojiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) #Hadi kufikia Desemba mwaka 2018, Mfuko wa Taifa wa Bima ya...
Jumanne, 29 Januari 2019

TAMKO LA MHE. UMMY MWALIMU (MB) KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA UKOMA DUNIANI
TAMKO LA MHE. UMMY MWALIMU (MB) WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA UKOMA DUNIANI TAREHE 27/01/2019 KIGAMBONI, DAR ES SALAAM Ndugu wanahabari, Siku ya Ukoma Duniani huadhimishwa ulimwenguni...
Jumatatu, 28 Januari 2019
6. HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018
HALI YA HUDUMA Za AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018 6.Vituo vya kutolea huduma za afya nchini #Hadi kufikia Desemba 2018, jumla ya vituo vya kutolea huduma za Afya vilifikia 7,768 kutoka vituo 7,435 mwaka...

Dkt Ndugulile - “UGONJWA WA UKOMA HAUNA UHUSIANO NA IMANI ZA KISHIRIKINA”
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (kushoto) akitoa kingatiba kwa mtoto aliyekuwa akiishi na mgonjwa wa ukoma. Kingtiba hiyo itamlinda dhidi ya ugonjwa wa ukoma imezinduliwa na Dkt....
UKOMA HAUNA UHUSIANO NA IMANI ZA KISHIRIKINA - SERIKALI
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile (kushoto) akitoa kingatiba kwa mtoto aliyekuwa akiishi na mgonjwa wa ukoma. Kingtiba hiyo itamlinda dhidi ya ugonjwa wa ukoma imezinduliwa na Dkt....
Jumapili, 27 Januari 2019

UKOMA SI UGONJWA WAKURITHI AU KUROGWA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisalimiana na Wazee ambao Waathirika wa ugonjwa wa Ukoma katika Kambi ya Wazee Nunge, Kigamboni Jijini Dar es salaam. Na WAMJW - DSM...

TAASISI ZA DINI NI WADAU WAKUBWA WA SEKTA YA AFYA NCHINI
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile(mwenye shati jeupe) akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Zahanati ya St. Mary's Mivumoni wilayani Pangani, Tanga. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya...
Jumamosi, 26 Januari 2019

5. HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018
Naibu Waziri wa Afya, ,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akikagua vifaa vya kupima ugonjwa wa Ebola pindi alipotembelea uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar Es Salaam. 5. Magonjwa ya...
JUMLA YA WAGONJWA WAPYA 1,933 WALIGUNDULIWA NA UKOMA NCHINI
Waziri Ummy Mwalimu akitoa tamko la siku ya ukoma Duniani ambapo aliwasisitiza wananchi kujenga tabia ya kuchunguza miili yao pamoja na watoto kama kuna mabaka rangi ya shaba yasiyo na hisia na kuwahi hospitalini mara waonapo...
Ijumaa, 25 Januari 2019

4.MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI, MALARIA NA KIFUA KIKUU
Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu. HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018 4.MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI, MALARIA NA KIFUA KIKUU #Mapambano Dhidi...
Alhamisi, 24 Januari 2019
SERIKALI YATOA BILIONI 2.5 KWA AJILI YA UJENZI WA JENGO LA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA SHINYANGA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akikagua jengo la wagonjwa wa nje (OPD) ambalo limekamilika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya...

UPATIKANAJI WA DAWA MUHIMU KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NCHINI
HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2008 3.UPATIKANAJI WA DAWA MUHIMU KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NCHINI #Hali ya upatikanaji wa Dawa muhimu katika vituo vya kutolea huduma za afya...

HOSPITALI YA MKOA WA GEITA YAPEWA SIKU 60 KUFUNGUA DUKA LA DAWA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongozana na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Geita Bw. Josephat Maganga (kulia) wakitoka kukagua jengo la hospitali ya rufaa ya mkoa wa Geita. Waziri...
Jumatano, 23 Januari 2019
HALI YA HUDUMA ZA TIBA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018
Jengo la wagonjwa wa dharura katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kaskazini KCMC. Mwaka 2018 jumla ya mahudhurio ya wagonjwa ilikuwa 42,411,276 katika vituo vya kutolea huduma za tiba nchini ikilinganishwa na 54,478,926 kwa mwaka 2017...