Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Alhamisi, 24 Januari 2019

UPATIKANAJI WA DAWA MUHIMU KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NCHINI


HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2008

3.UPATIKANAJI WA DAWA MUHIMU KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NCHINI

#Hali ya upatikanaji wa Dawa muhimu katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini imeendelea kuimarika tokea kuingia madarakani kwa Serikali ya awamu ya Tano. 

#Serikali imeongeza bajeti ya dawa kutoka Shilingi Milioni 31 mwaka 2015/16 hadi kufikia Shilingi milioni 251 mwaka 2016/17 na Shilingi 270 mwaka 2018/19. 

#Hali hii imewezesha takribani vituo vyote vya kutolea huduma nchi kuwa na dawa zote muhumu na kuwezesha wananchi kupata dawa karibu na maeneo wanayoishi. 

# Mwaka 2015 hali ya upatikanaji wa dawa ilikuwa asilimia 46 kutokana na ongezeko la bajeti pamoja na usimamizi mzuri wa usambazaji dawa, mwaka 2016/17 hali upatikanaji wa dawa iliongezeka na kufikia asilimia 89 na mwaka 2018 ilifikia asilimia 94 kwa dawa dawa muhimu zinazosambazwa na Bohari ya Dawa nchini (MSD). 

Imetolewa na;
Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto
24/01/2019

0 on: "UPATIKANAJI WA DAWA MUHIMU KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA NCHINI"