Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumatatu, 28 Januari 2019

6. HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018



HALI YA HUDUMA Za AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018

6.Vituo vya kutolea huduma za afya nchini

#Hadi kufikia Desemba 2018, jumla ya vituo vya kutolea huduma za Afya vilifikia 7,768 kutoka vituo 7,435 mwaka 2017 sawa na ongezeko la vituo 333 kwa mwaka.

#Katika vituo hivyo Serikali ilikuwa inamiliki asilimia 71 ya vituo vya kutolea huduma.

# Mashirika ya dini asilimia 12, Taasisi za Serikali (Parastatal) asilimia 3 na vituo binafsi asilimia 15.

#Wakati ambapo hospitali zilikuwa asilimia 3, Vituo vya afya asilimia 11 na Zahanati asilimia 86.

Imetolewa na ;
Wizara ya Afya,Maendeleonya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto
28/01/2019

0 on: "6. HALI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018"