Like us on Facebook

Inaendeshwa na Blogger.

Tafuta katika Blogu Hii

Kumbukumbu la Blogu

Instagram

visitors

display number of visitors

Popular Posts

Pages

Flickr Images

Jumanne, 29 Januari 2019

IDADI YA WANANCHI WALIOJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)


HALI YA HUDUMA ZA AFYA  NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MWAKA 2018

7. Idadi ya Wananchi waliojiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)

#Hadi kufikia Desemba mwaka 2018, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ulikuwa na jumla ya wanachama wachangiaji 899,654 na ikihudumia jumla ya wanufaika 4,219,192 sawa na asilimia 8 ya Watanzania wote.

#Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) unahudumia wanufaika 13,506,330 sawa na asilimia 25 ya Watanzania wote ukilinganisha na asilimia 24 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017.

# Kwa ujumla wake NHIF na CHF inahudumia wanufaika 17,725,522 sawa na asilimia 33 ya watanzania wote. 

Imetolewa na;
Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto
29/01/2019

0 on: "IDADI YA WANANCHI WALIOJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)"